beautydechocolate.blogspot.com
Classic Rabia: Una nywele dhaifu? Fanya haya kuzipa uhai..
http://beautydechocolate.blogspot.com/2014/01/una-nywele-dhaifu-fanya-haya-kuzipa-uhai.html
Fanya haya kuzipa uhai. WANAWAKE wengi hasa wale wanaopenda urembo, huangaika kutunza nywele zao. Ili ziwe katika muonekano mzuri, haijalishi ni fupi ama ndefu. Lakini kwa bahati mbaya, kuna baadhi yao wana nywele dhaifu, na ni wazi kuwa. Nywele hizo huwa hazina muonekano mzuri. Wengi wao wanadhani kuvaa wigi, ama kusuka nywele bandia kwa muda mrefu ni. Suluhisho la tatizo hilo, kitu ambacho si kweli kwani nywele hizo zinatakiwa matunzo tu na. Kuweka nywele bandia husababisha kuwa dhaifu zaidi. Kwa mahit...
beautydechocolate.blogspot.com
Classic Rabia: Jinsi ya kutunza uso
http://beautydechocolate.blogspot.com/2013/06/jinsi-ya-kutunza-uso.html
Jinsi ya kutunza uso. KATIKA mwili wa binadamu, kitu cha kwanza muhimu katika muonekano ni uso, na ndio maana wanawake wengi wamekuwa na msemo 'mapokezi kwanza', wakimaanisha umaridadi wa uso na kisha. Basi pamoja na umuhimu huo wa uso lakini wengi wetu hatujui namna ya kuutunza hata uwe wenye kuvutia kila siku, na badala yake tumekuwa tukifanya kwa mazoea kwamba baada ya kunawa ama kuoga unapaka mafuta na vipodozi, umemaliza. Muda mrefu kurudi katika hali yake ya kawaida. Tafuta taulo maalum kwa ajili y...
beautydechocolate.blogspot.com
Classic Rabia: Limao na sukari hutibu weusi chini ya macho na kwenye viungio vya mwili
http://beautydechocolate.blogspot.com/2013/06/limao-na-sukari-hutibu-weusi-chini-ya.html
Limao na sukari hutibu weusi chini ya macho na kwenye viungio vya mwili. Zipo njia nyingi za kuondoa weusi katika maungio na sehemu za ndani, mfano kwapa, chini ya macho nakadhalika.Njia hizo huwa ni za asili ama kwa kutumia vifaa vilivyotengenezwa viwandani. Leo, nitakwambia namna ya kuondoa weusi katika kwapa kwa kutumia limao na sukari. Ukitumia njia hii huna haja ya kutumia deodorant, kwani ni zaidi ya bidhaa hiyo, na ni vizuri ukiwa unarudia mara kwa mara. Subscribe to: Post Comments (Atom). Kwa mah...
beautydechocolate.blogspot.com
Classic Rabia: Mitindo ya nywele ya Feza Kessy
http://beautydechocolate.blogspot.com/2013/08/mitindo-ya-nywele-ya-feza-kessy.html
Mitindo ya nywele ya Feza Kessy. Feza alikuwa mshiriki wa Big Brother mwaka huu iliyopewa jina la Big Brother The Chase.amejipatia umaarufu mkubwa nchini na Afrika kutokana na ushiriki wake huo. Pamoja na yote ni mrembo, na mitindo yake ya nywele inambeba vilivyo na kumfanya ang'ae kwenye macho ya watu. Hii hapa chini ni baadhi ya mitindo hiyo. Hapa akiwa na mpenzi wake Oneal ndani ya BBA. Hapa kama sio yeye vilee.lool. asilimia ya mitindo yake ni nywele fupi. Subscribe to: Post Comments (Atom). KATIKA m...
beautydechocolate.blogspot.com
Classic Rabia: Happiness Watimanywa atwaa taji la Redds Miss Tanzania
http://beautydechocolate.blogspot.com/2013/09/happiness-watimanywa-atwaa-taji-la.html
Happiness Watimanywa atwaa taji la Redds Miss Tanzania. Redd's Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa akiwa na Mshindi wa pili Latifa Mohamed (kushoto) na mshindi wa tatu Clara Bayo, baada ya kutwaa taji hilo, usiku wa kuamkia leo. Subscribe to: Post Comments (Atom). Kwa mahitaji yako ya nywele aina zote nipigie kwenye namba 0715038888, nitakuletea ulipo! BONDIA VICENT MBILINYI AJINOA KA AJILI YA MKENYA SEPTEMBA 17 NAIROBI KENYA. Mjengwa Blog: Habari,Picha,Matangazo. Kuondoa chunusi kwa kutumia manjano.
beautydechocolate.blogspot.com
Classic Rabia: Kuondoa chunusi kwa kutumia manjano
http://beautydechocolate.blogspot.com/2013/07/kuondoa-chunusi-kwa-kutumia-manjano.html
Kuondoa chunusi kwa kutumia manjano. MIMI ni fan wa page ya Shear Illusions, facebook.katika pita pita za kuangalia posts kwenye ukurasa huo nikakutana na hii.nikaona ni vyema nikashare na wadau wa blog hii ambao hawajabahatika kukutana na utaalam huu. Mahitaji ya kuondoa chunusi kwa manjano. Vijiko viwili (2 tbs) vya unga wa binzari ya Manjano (Turmeric powder). Kijiko kimoja (1 tbs) cha unga wa Riwa - wengine huita Liwa (Sandalwood). Vijiko vinne (4 tbs) Maji masafi. February 10, 2016 at 1:27 PM. Kwa m...
beautydechocolate.blogspot.com
Classic Rabia: Pole Wema Sepetu kwa kufiwa na baba yako
http://beautydechocolate.blogspot.com/2013/10/pole-wema-sepetu-kwa-kufiwa-na-baba-yako.html
Pole Wema Sepetu kwa kufiwa na baba yako. Blogu hii ambayo ni mdau mkubwa wa masuala ya urembo, inaungana na mrembo wa nguvu Tanzania, anayetikisa kwa sasa, aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, katika kuombeleza msiba mzito na mkubwa wa baba yake, Balozi Isaac Sepetu aliyefariki dunia leo, tarehe 27, 10, 2013. Mungu ampe nguvu yeye na familia yake katika kipindi hiki kizito. Inna lilah Waina ilaihi Rajiuun! Subscribe to: Post Comments (Atom). Mjengwa Blog: Habari,Picha,Matangazo. NGUO fupi ime...
nicarisours.blogspot.com
Nica Veronica: May 2013
http://nicarisours.blogspot.com/2013_05_01_archive.html
Dear viewers. karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901. Monday, May 27, 2013. FEDHA KESSY NA NANDO WAIWAKILISHA TANZANIA KWENYE SHINDANO LA BIG BROTHER THE CHASE 2013. Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo waandishi wa habari kutoka nchin mbalimbali za Afrika kushuhudia Live uzinduzi huo. Mtangazaji IK akifanya mahojiano na Patna wa Mwakilishi wa Tanzania Mshiriki kutoka Ghana Elikem wakati wa uzinduzi wa Shindano la Big Brother The Chase lilil...
nicarisours.blogspot.com
Nica Veronica: January 2013
http://nicarisours.blogspot.com/2013_01_01_archive.html
Dear viewers. karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901. Monday, January 14, 2013. Denzel Washington and his daughter Olivia Washington walipohudhulia Tunzo za Golden Globe ndani ya Beverly Hilton in Beverly Hills. Winners of Golden Globes Awards 2013. Jennifer Lawrence, ashinda kama Best Actress in a Motion Picture inayoitwa - "Silver Linings Playbook," I liked her speech. Her performance in Les Miserable was phenomenal one of my best movie.
nicarisours.blogspot.com
Nica Veronica: September 2013
http://nicarisours.blogspot.com/2013_09_01_archive.html
Dear viewers. karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901. Monday, September 23, 2013. Who is Al shabaab. Jina Al-Shabab linamaanisha Kijana. Kwa lugha ya kiarabu. Kundi hilo liliibuka kama tawi la vijana la muungano wa mahakama za kiislmau ambao baadaye ulivunjika mwaka 2006, wakati ilipopigana na wanajeshi wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini Somalia kuunga mkono serikali iliyokuwa dhaifu. Je Al Shabaab linadhibiti sehemu gani ya Somalia?